Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

UGONJWA WA SARATANI


Kitabibu ugonjwa huu hujulikana kama malignant neoplasm unaoenezwa na oncovirus ambapo seli za mwili wa mwanadamu hugawanyika na kukua huku zikisababisha uvimbe usioweza kuzuilika kirahisi katika maungo ya mhusika.  Saratani inaweza kusambaa katika mwili wa mwanadamu kupitia mfumo wa ute uliopo kwenye chembe hai nyeupe na mzunguko wa damu.  Si kila uvimbe unaoweza kutokea katika mwili unasabishwa na saratani.  Uvibe wa saratani vigumu kuzuilika na huweza kuenea katika mwili mzima wa mhusika.  Kuna aina zaidi ya 200 tofauti za ugonjwa wa saratani ambazo huwapata binadamu kutokana na sababu mbalimbali.


This post first appeared on Afya Na Kiasi, please read the originial post: here

Share the post

UGONJWA WA SARATANI

×

Subscribe to Afya Na Kiasi

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×