Jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo lihimidiwe daima, karibu tujifunze Biblia Neno la Mungu wetu lililo taa ya miguu yetu na Mwanga wa njia yetu (Zab.119:105). Maandiko yanatuonyesha kuwa si lazima watu wote wanene Kwa Lugha (1Wakorintho 12:30 na 14:23), kana kwamba ndio uthibitisho pekee wa mtu kuwa wa kiroho…lakini pia kuna faida Read More
The post IJUE FAIDA YA Kunena Kwa Lugha MPYA! appeared first on WINGU LA MASHAHIDI WA KRISTO.