Mahakama Yatupilia Mbali Kesi ya Kuzuia Uchaguzi wa TLS Mahakama Kuu imetupilia mbali kesi ya Kikatiba iliyofunguliwa na Wakili Onesmo Mpinzila pamoja na mambo mengine akipinga Kanuni za Uchaguzi za Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) za mwaka 2016. Kesi hiyo imetupiliwa mbali baada ya Mahakama