Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Ndege Mbili Zaanguka Baada ya Kugongana Huko Ujerumani

Tags: ndege mbili baada
Uwanja wa Ndege wa Adolf Wurth ambazo ndipo ndege zilitakiwa kutua
Ndege Mbili ndogo zilianguka baada ya kugongana jana alasiri kusini magharibi mwa Ujerumani, na kusababisha vifo vya watu wawili. Polisi wa huko wamesema Ndege hizo ziligongana kaskazini mwa jimbo la Baden-Württemberg, wakati zikijaribu kutua kwenye uwanja wa ndege. Uchunguzi wa ajali hiyo bado unaendelea


This post first appeared on Maisha Yetu, please read the originial post: here

Share the post

Ndege Mbili Zaanguka Baada ya Kugongana Huko Ujerumani

×

Subscribe to Maisha Yetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×