|
Uwanja wa Ndege wa Adolf Wurth ambazo ndipo ndege zilitakiwa kutua |
Ndege
Mbili ndogo zilianguka baada ya kugongana jana alasiri kusini magharibi mwa Ujerumani, na kusababisha vifo vya watu wawili. Polisi wa huko wamesema
Ndege hizo ziligongana kaskazini mwa jimbo la Baden-Württemberg, wakati zikijaribu kutua kwenye uwanja wa ndege. Uchunguzi wa ajali hiyo bado unaendelea