Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Fatma Karume amrithi Tundu Lissu (TLS)



Wanasheria kutoka Chama Cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kwa pamoja wamemchagua Wakili, Fatma Karume kuwa rais mpya atakaye kiongoza Chama hicho.

Aidha, Fatma Karume anachukua nafasi ya mwanasheria mwenzake, Tundu Lissu ambaye anamaliza muda wake Kikatiba.

Katika uchaguzi huo uliofanyika hii leo jijini Arusha, Dkt. Rugemeleza Nshala amechaguliwa kuwa Makamu wa Rais wa TLS.

Kwa mujibu wa katiba ya chama hicho cha wanasheria, uongozi ndani ya chama hicho hudumu kwa muda wa mwaka mmoja.


This post first appeared on Maisha Yetu, please read the originial post: here

Share the post

Fatma Karume amrithi Tundu Lissu (TLS)

×

Subscribe to Maisha Yetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×