Mamlaka ya Hali ya hewa iliyopo chini ya Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano nchini Tanzania imewatahadharisha wananchi kuwepo kwa vipindi vya mvua kubwa katika maeneo yote ya pwani kuanzia jana usiku mpaka Aprili 16 mwaka huu.
Kwa taarifa kamili angalia hapa chini
Kwa taarifa kamili angalia hapa chini