Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Barcelona Yaomba Radhi Mashabiki



Rais wa Barcelona Josep Bartomeu ameomba Radhi Mashabiki wa klabu hiyo baada ya timu hiyo kutupwa nje katika ligi ya mabingwa Ulaya.

Barcelona iliyokuwa ikipewa nafasi ya kusonga mbele, iliondolewa na AS Roma ya Italia baada ya kuchapwa mabao 3-0 ugenini.

Bartomeu amesema wamepokea kwa masikitiko matokeo hayo na kuwa Roma walikuwa katika kiwango bora uwanjani na walikuwa sahihi kusonga mbele.

Matokeo hayo yanafanya kibarua cha kocha Ernesto Valverde kinaweza kuota mbawa.


This post first appeared on Maisha Yetu, please read the originial post: here

Share the post

Barcelona Yaomba Radhi Mashabiki

×

Subscribe to Maisha Yetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×