Hatimaye droo ya Nusu Fainali ya kombe la klabu bingwa barani Ulaya imepangwa.
Katika hatua hiyo Bayern Munich wataanzia nyumbani kucheza na Real Madrid na Liverpool wamepangwa kucheza na AS Roma ya Italia.
Katika hatua hiyo Bayern Munich wataanzia nyumbani kucheza na Real Madrid na Liverpool wamepangwa kucheza na AS Roma ya Italia.