Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Europa League: Arsenal Wapangiwa Madrid Nusu Fainali

Droo ya hatua ya Nusu Fainali ya kombe la Europa League 2017/18 imepangwa leo Ijumaa.



Baada ya kufanikiwa kupenya kwenye hatua hiyo kwa ubabe mkubwa, Arsenal wamepangwa kucheza na Atletico Madrid ya Hispania.



Wakati huo huo Olympique de Marseille wamepangwa kucheza na Salzburg.


This post first appeared on Maisha Yetu, please read the originial post: here

Share the post

Europa League: Arsenal Wapangiwa Madrid Nusu Fainali

×

Subscribe to Maisha Yetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×