Mchezo wa ligi kati ya Ruvu Shooting na Azam FC uliokuwa upigwe leo saa 8:00 mchana katika dimba la mabatini, Pwani umeahirishwa kutokana na maji kujaa uwanjani baada ya mvua kubwa kunyesha.
Mchezo huo sasa utapigwa kesho Ijumaa (Aprili 13, 2018) saa 10:00 na Azam Tv itakuwa LIVE kama kawaida
Mchezo huo sasa utapigwa kesho Ijumaa (Aprili 13, 2018) saa 10:00 na Azam Tv itakuwa LIVE kama kawaida