Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

JPM Amteua Prof Isaya Kuwa Mkurugenzi wa NBAA



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Prof. Isaya Jayambo Jairo kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA).

Katika taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi, John Kijazi imesema kuwa uteuzi huo wa Prof. Jairo unaanza leo Aprili 11, 2018.

Aidha, Prof. Jairo ni Mkuu wa Chuo cha Kodi (ITA) na ameteuliwa kushika wadhifa huo kwa kipindi cha pili baada ya kipindi chake cha kwanza kumalizika.


This post first appeared on Maisha Yetu, please read the originial post: here

Share the post

JPM Amteua Prof Isaya Kuwa Mkurugenzi wa NBAA

×

Subscribe to Maisha Yetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×