Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Basi la Kampuni ya Maqadir Lapata Ajali Mkoani Tanga Leo



Basi la Kampuni ya Maqadir lililokuwa linatoka jijini Tanga kwenda Kijiji Cha Mtae, Wilaya ya Lushoto mkoani humo, limeanguka asubuhi leo Aprili 10, 2018 katikati ya barabara kuu ya Segera-Tanga katika kijiji cha Mpakani, kata ya Kerenge wilayani Muheza mkoani Tanga.

Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Edward Bukombe, majeruhi wa ajali hiyo ni mmoja na bado hajatambuliwa ambapo chanzo cha ajali hiyo, pia bado hakijafahamika.


This post first appeared on Maisha Yetu, please read the originial post: here

Share the post

Basi la Kampuni ya Maqadir Lapata Ajali Mkoani Tanga Leo

×

Subscribe to Maisha Yetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×