MSANII Diamond Platnumz (Dangote) Aumbuka Kenya Anaandika Javan Samora-Kenya Msanii wa kizazi kipya Diamond Platnumz ( Dangote ) amewachefua fans wake mara baada ya kuongea Ki-ingereza cha hovyo ( Broken English ) na kuzua taharuki kwa mashabiki, Akiongea kupitia kupitia kituo cha Redio cha Class FM wakati wa kutangaza uzinduzi