Aliyetoa Maoni "Acha Wafe" Kwenye Habari ya Kuuawa Askari 8 Atiwa Mbaroni Mbeya Aliyetoa maoni ktk Tweet ya Millard Ayo kwamba Askari 8 waliouwawa acha wafe, amekamatwa na Polisi Mbeya kwa kauli hiyo Tuwe makini sana na Tunayoandika ama kukoment kwenye mitandao.....