Wapinzani Wadai Wakurugenzi Waliotumbuliwa Wanalipwa Milioni 480 kwa Mwezi..!! Maoni ya upinzani ya wizara mbili, jana yaliibua hoja tofauti; ya kwanza ikidai Serikali inawalipa wakurugenzi 120 waliotumbuliwa Sh480 milioni, na ya pili ikikikishutumu kiti cha Spika kwa kuzuia mjadala wa wabunge