Hatimaye Yule Jamaa Aliyerekodi Tukio Akimuua Mzee Amejiua Mwenyewe Yule Jamaa ambae alirekodi tukio live akimuua mzee wa miaka 79 kwa bastola hatimae amejiua mwenyewe . Tukio hilo la kujiua limetoa muda tu baada ya polisi kumpata na kuanza kulikimbiza gari lake ila kabla hawajamkamata alijipiga risasi