Ukweli Ndio Huu..Wanawake Ndio Hufaidi Tendo la Ndoa..Ila Wengi Ndio Huishia Kudhulumiwa..!!! Somo langu la leo ni juu ya wanawake kuenjoy zaidi tendo la ndoa. Nikwambie tu kuwa kati ya mwanamke na mwanaume linapokuja swala la kufaidi na kufurahia sex basi ni mwanamke ndio anafaidi zaidi.