Rasmi..CCM Wamnyooshea Kidole Nape Nnauye..Wamtaka Aache Kuongea Ongea Hovyo..!!! HATIMAYE Chama Cha Mpainduzi (CCM), kimeamua kufunguka na kutoa onyo kuhusiana na kauli za baadhi ya makada wake walioenguliwa na Rais John Magufuli katika nafasi mbalimbali za uongozi walizokuwa wakishikilia serikalini