Jamaa Afanya Mauaji Huku Akionyesha Live Marafiki zake Kupitia Facebook Polisi katika jimbo la Ohio nchini Marekani wanamtafuta mtu anayedaiwa kufanya mauaji,huku akionyesha moja kwa moja mauaji hayo kupitia mtandao wa Facebook. Maofisa katika mji wa Cleveland wamesema kuwa Steve Stephens anaonekana akionyesha