Wabunge Waliotajwa Kutekwa Waanza Kuchukua Tahadhari Taarifa ya Mbunge wa Nzega Mjini (CCM), Hussein Bashe kuwa wabunge 11 wamo katika orodha ya watu wanaoweza kutekwa wakati wowote, imesababisha waliotajwa kurekebisha mienendo yao kuepuka kunaswa huku wakisema hawana hofu. Bashe, ambaye alisema