Baada ya Kutajwa Katika List ya Makonda Kuwa Anatumia Madwa ya Kulevya,,Tunda Amefunguka Haya Mazito Juu ya Maisha Yake na Kilichomponza..!!! KABLA ya Video Queen Tunda Sabasita kukamatwa na polisi kwa soo la kutumia madawa ya kulevya kisha kufi kishwa mahakamani akiwa na mastaa wengine, alikuwa gumzo