Ndugu wa Msichana Aliyejirusha Baharini na Kuokolewa Katika Boti ya Azam Wafunguka Kisa Kizima KISA cha binti mwenye umri wa miaka 16 (jina linahifadhiwa kutokana na miaka yake) kujitupa baharini akiwa katika boti ya Kilimanjaro V akitoka Dar es Salaam kwenda Zanzibar juzi, kinaanzia kwenye mawasiliano yake na