Ile Kesi ya Kumuua Mvungi Yafikia Hatua Hii..!!! WAKAZI sita wa Dar es Salaam wanaotuhumiwa kumuua kwa makusudi aliyekuwa mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Dk Sengondo Mvungi, leo wanatarajiwa kusomewa maelezo ya mashahidi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, baada ya upelelezi wa kesi hiyo