Rais Magufuli Avunja Ahadi Yake ya Kutoruhusu Upinzani Kukanyaga Ikulu..Alihapa Kutowapa Nafasi Hiyo Hata Iweje..!!! AMEJIRUDI. Ndivyo kitendo cha Rais John Magufuli kumteua Mshauri Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Profesa Kitila Mkumbo kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji kinavyoweza kutafsiriwa