Imefichuka... Hivi Hapa Vitu Vitano Vilivyokwamisha Bajeti ya Kwanza ya Serikali ya Rais Magufuli WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango, amewasilisha kiwango na ukomo wa bajeti kuu ya serikali kwa mwaka 2017/18, akisema itakuwa Sh. trilion 31.6. Aidha, waziri huyo