Usioghope Kuachika, Ogopa Kuchanika...!!!! JAMANI salama huko mliko maanti zangu wa kisasa? Leo nimeamka nimechokachoka hata sijui kwa sababu gani, maana jana nimelala mapema tena nikiwa hata sijafanya kazi ngumu. Ingekuwa zamani ningesema wachawi wamenifanyisha kazi, lakini siku hizi, wanipate wapi, nalala