CHADEMA KUTUMIA Bunge Kufafanua Hali YA SIASA NCHINI. Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Bara, John Mnyika Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema kitautumia Mkutano wa Saba wa Bunge la Bajeti utakaoanza Aprili 4 kufafanua hali ya kisiasa ilivyo nchini. Naibu