Rasmi..Wakenya Watoa Siku 60 kwa Madaktari wa Tanzania...!!! Chama cha madaktari nchini Kenya kimewataka madktari kutoka Tanzania kusubiri baada ya miezi miwili ndipo waende nchini humo kwa ajili ya kufanya kazi ambayo imetangazwa kwa madaktari wa Tanzania kama fursa. Hayo