Viongozi, Mastaa Watoa ya Moyoni Kufuatia Nape Kupokonywa Uwaziri, Wengi Wamuita 'Shujaa'...!!! Alhamis hii jua limechomoza likiambatana na mshtuko mkubwa kwa wananchi wengi wa Tanzania. Mshtuko huo umetokana na taarifa ya mheshimiwa Nape Nnauye kupokonywa nafasi ya uwaziri wa Habari,