Makonda Awajibu Wanaomtuhumu Mkewe...!!! MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda amewajibu wote wanaosema katika mitandao ya kijamii, kuwa mkewe si raia halali wa Tanzania na kusema kuwa, hata kila siku wataamka na kisa kipya yeye bado ataendelea kupambana na kuhakikisha Dar es Salaam inakuwa safi.