Magufuli: Majambazi Lazima Watakamatwa..!!! RAIS John Magufuli amesema kundi la majambazi linaloendesha mauaji mkoani Pwani hasa katika wilaya za Mkuranga na Kibiti halitapenya, bali litakamatwa kokote waliko. Amesema amani ni jambo la msingi katika uwekezaji na akawataka wananchi