Rais Magufuli "Ampa Adhabu" Nzito Mkandarasi...!!! Akiendelea na ziara yake mkoani Lindi, Rais Dkt Magufuli amekagua miradi mbalimbali ya maendeleo mkoani humo na kutoa maagizo ili kuhakikisha wananchi wananufaika na jitihada za serikali za kuboresha maisha yao. Rais Magufuli amemuagiza Mkuu wa