Watumishi 2,059 Watinga Dodoma Awamu ya Kwanza..!!! Jumla ya watumishi wa umma 2,059 wameripoti Dodoma katika awamu ya kwanza ya kuhamia mjini humo ikiwa ni utekelezaji wa ahadi ya Rais John Magufuli aliyoitoa wakati akikabidhiwa uenyekiti wa CCM, Julai 22, mwaka jana. Awamu ya kwanza ya