Hatarii..Kamanda Sirro Akaidi Aagizo la Makonda Kuhusu Wauza Madawa ya Kulevya....!!!! JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limejiweka kando kuhusu sakata la majina 65 ya watu waliyotajwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, akiwatuhumu kujihusisha na dawa za kulevya.