Makato Bodi ya Mikopo: TUCTA Yatoa Siku 14 kwa Serikali Kuwarudishia Wafanyakazi Fedha Walizokatwa Kinyume na Mkataba wa 8% Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), limetoa siku 14 kwa Serikali kurejesha fedha za makato ya mikopo ya asilimia 15 zilizokatwa kikamakosa kupitia Bodi ya Mikopo,