GAMBIA: ADAM BARROW Amfukuza Kazi Mkuu WA MAJESHI. Rais wa Gambia Adama Barrow amemuachisha kazi mkuu wa majeshi wa nchi hiyo Ousman Badjie Hatua hiyo ya Rais Barrow imekuja kutokana na Badjie kutangaza mwezi Disemba mwaka jana baada ya uchaguzi mkuu kuwa atafuata amri ya Rais aliyepita Yahya