BREAKIN NEWZZ!!:- MKUU WA WILAYA ASIYEPENDA UJINGA AMSWEKA RUMANDE OFISA WA WILAYA Yake Soma Sababu LIVE!! Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Ally Hapi ameagiza Jeshi la Polisi kumuweka ndani siku mbili, Afisa Uthamini wa wilaya hiyo, Einhard Chidaga kwa kosa la kutotekeleza majukumu yake pamoja na kudharau wananchi