Kikwete 'Alivyopora Dili' la Kiwanda Cha Vigae..!!! Ujanja, na uwezo mkubwa wa kujiongeza kwa Mbunge wa Chalinze, Mh. Ridhiwani Kikwete ndiyo mambo yaliyosababisha kiwanda kipya cha vigae kijengwe Chalinze badala ya Mkuranga mkoani Pwani kama ilivyokuwa imepangwa awali. Kikwete akiwa kwenye