Jay Z Apiga Hodi Manchester United Mwaka 2013 rapa wa Marekani Shawn Carter almaarufu Jay Z alianza kujiingiza katika michezo kupitia lebo yake ya Roc Nations.Jay Z amefanikiwa kusaini baadhi ya wanamichezo vijana waocheza masumbwi na kikapu na sasa Jay Z anajaribu kutanua mbawa zake kwa kuingi kwenye ligi kubwa. Jay Z