Zari: Hakuna Kilichonivutia kwa Diamond Nilipomuona Mara ya Kwanza...!! Akihojiwa na kituo maarufu cha radio mjini, staa na mpenzi wa mwanamuziki maarufu nchini Diamond Platinumz, Zarinah Hassan, amesema kuwa hakuna kilichomvutia kwa mwanamuziki huyo ila wamejikuta tu wakiwa kwenye mawasiliano.