ASKOFU Gwajima Afunguka Yote ALIVYOKUWA POLISI Kanisa la Ufufuo na Uzima linaloongozwa na Askofu Josephat Gwajima limetangaza vita dhidi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kwa kumtaja katika orodha ya wanaojihusisha na dawa za kulevya, jambo ambalo alisema limethibitika si la kweli. Gwajima