Uchokozi: Korea Kaskazini Yaifyatulia Kombora Japan Korea Kaskazini kwa mara nyingine tena imefyatua kombora na kulielekeza upande wa Pwani ya Japan. Maofisa wa kijeshi kutoka Korea Kusini wamekadiria kombora hilo limesafiri umbali wa takribani kilomita 500 huku serikali ya Korea Kusini sasa imeitisha kikao