Hii Ndiyo 'Message Sent' ya Nape Kwa Makonda Kupitia Twitter Baada ya Nape Kukosoa utaratibu wa kuita watu polisi na kuwahusisha na Madawa ya Kulevya bila ushahidi kamili siku kadhaa zilizopita, Jana amepost meseji tata kwenye account ya Twitter ambayo watu wengi wamekoment na kusema ni Dongo la Makonda... Je wewe Mdau