Breaking News..Mbowe Atumbua Jipu la Madawa ya Kulevya ,Awataja Wahusika Wakuu Huku Akimwambia Makonda Asimchezee Ovyo(video)..!!! Freeman Mbowe amesema hatafika polisi kwa kuitwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda. Amekanusha vikali tuhuma za kuhusika na biashara au