KAMANDA Sirro Awaita Waliotajwa NA RC MAKONDA Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam amewataka watu wote waliotajwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda kuhusika na dawa za kulevya, kuripoti kituo kikuu cha polisi kama walivyoamrishwa na mkuu huyo wa mkoa. Kamanda