Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Belle 9 atinga kambi ya WCB, afanya mazoezi na Diamond



Muimbaji huyo anayefanya vizuri na wimbo ‘Bugger Movie Selfie’ ameonekana akifanya mazoezi ya bendi ya Diamond katika ofisi za WCB.
Kwa mujibu wa kipindi cha Planet Bongo cha EATV, Belle pamoja na Diamond wameonekana wakiimba wimbo ‘Mdogo Mdogo’ kwa pamoja huku wakicheza.
Hatua hiyo imefufua matumaini mapya kwa mashabiki wa kumuziki kuona huweza WCB ikamsaini msanii hiyo kama ilivyofanya kwa Rich Mavoko.
Kwa sasa label ya WCB ina wasanii wanne, Harmonize, Rich Mavoko, Raymond aka Rayvany pamoja Queen Darlin.


This post first appeared on MASWAYETU, please read the originial post: here

Share the post

Belle 9 atinga kambi ya WCB, afanya mazoezi na Diamond

×

Subscribe to Maswayetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×