Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Taarifa kwa Wanafunzi Wote Kuhusu tarehe ya Kufungua Chuo sekta ya uvuvi Tanzania bara 2016/2017

 

Taarifa kwa Wanafunzi Wote Kuhusu Kufungua Chuo

Kurugenzi ya Mafunzo na Utafiti Inapenda Kuwatangazia Wanafunzi Wote wa Wakala Wa Elimu na Mafunzo ya Uvuvi (FETA) kwamba, Tarehe ya Kufungua Chuo Imebadilishwa tena na Hivyo kwa Wanafunzi wa Mwaka wa Kwanza (New Comers) Pamoja na Wale Wanaotarajia Kufanya Mitihani ya Supplementary na Mitihani Maalum (Special Exams) Wataripoti Kuanzia Siku ya Jumatatu ya Tarehe 29 Mwezi Agosti. Aidha Wanafunzi Wanaoendelea Wao wataripoti chuo Kuanzia Jumatatu ya Tarehe 5 Mwezi wa Septemba. Tunaomba Radhi sana Kwa Usumbufu Wote Ambao utajitokeza.
Imetolewa na
Kurugenzi ya Mafunzo na Utafiti
28/07/2016
 
 
 


This post first appeared on MASWAYETU, please read the originial post: here

Share the post

Taarifa kwa Wanafunzi Wote Kuhusu tarehe ya Kufungua Chuo sekta ya uvuvi Tanzania bara 2016/2017

×

Subscribe to Maswayetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×