Taarifa kwa Wanafunzi Wote Kuhusu Kufungua Chuo
Kurugenzi ya Mafunzo na Utafiti Inapenda Kuwatangazia Wanafunzi Wote wa Wakala Wa Elimu na Mafunzo ya Uvuvi (FETA) kwamba, Tarehe ya Kufungua Chuo Imebadilishwa tena na Hivyo kwa Wanafunzi wa Mwaka wa Kwanza (New Comers) Pamoja na Wale Wanaotarajia Kufanya Mitihani ya Supplementary na Mitihani Maalum (Special Exams) Wataripoti Kuanzia Siku ya Jumatatu ya Tarehe 29 Mwezi Agosti. Aidha Wanafunzi Wanaoendelea Wao wataripoti chuo Kuanzia Jumatatu ya Tarehe 5 Mwezi wa Septemba. Tunaomba Radhi sana Kwa Usumbufu Wote Ambao utajitokeza.
Imetolewa na
Kurugenzi ya Mafunzo na Utafiti
28/07/2016