Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Vitisho Kwa Njia ya Simu Vyamfikisha Mahakamani.

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Mkazi wa Kijiji cha Misasi Mariamu Nestory (20) amefikishwa Mahakama ya Wilaya ya Misungwi mkoani Mwanza kujibu shtaka la kutoa lugha ya vitisho Kwa Njia ya simu.

Mwendesha Mashtaka wa Polisi, Doroth Mgenyi alidai kuwa Mei 2  saa 8:15 mchana,  mshtakiwa  huyo kwa kutumia simu  aliandika ujumbe wa Vitisho Kwa Diana Kabula kinyume cha sheria ya makosa ya mtandao kifungu 18 (1) ya mwaka 2015.

Alinukuu ujumbe huyo akidai:  “Ujiandae siku utakayoingia anga zangu, sali sala ya mwisho, ulisikia kisa cha Sengerema ndivyo nitakavyokufanya... ikishindikana kukuua kwa mikono yangu nitakuroga uwe kichaa.” 
Hata hivyo, mshtakiwa huyo alikana shtaka.


This post first appeared on MASWAYETU, please read the originial post: here

Share the post

Vitisho Kwa Njia ya Simu Vyamfikisha Mahakamani.

×

Subscribe to Maswayetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×