Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

KAULI YA RAIS JPM KUHUSU AJIRA MBALIMBALI TANZANIA

 
 Amesema kwamba;
"Sitambui kama usitishwaji wa Ajira bado unaendelea mimi nilisitisha kwa miezi miwili tuu baada ya miezi hiyo kuisha zoezi la kuajiri liliendelea na hata juzi tumeajiri madoctor na tunatarajia kuajiri wengine 5000 keshokutwa..ni maneno ya mkuu wa Nchi alipokuwa na mahojiano leo na wahariri mbalimbali"
 


This post first appeared on MASWAYETU, please read the originial post: here

Share the post

KAULI YA RAIS JPM KUHUSU AJIRA MBALIMBALI TANZANIA

×

Subscribe to Maswayetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×