Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

VICHEKESHO VINNE VYA SIKU YA LEO VIKO HAPA USIKOSE KUVISOMA

1. Juma: Uwa bibi yako anasoma Biblia??
Naumi: Ndio ni kweli uwa anasoma biblia, tena usoma usiku na mchana.

Juma: Ivi unahisi ni kwanini uwa anasoma sana biblia kiasi hicho??
Naumi: Nahisi anakalili kwa ajili ya siku yake ya mwisho.

2. Mwalimu Akamuuliza "John Kwa Nini umechelewa kufika shuleni??"
John akamjibu Mwalimu "Ni kwa sababu ya alama za barabarani"

Mwalimu akamuuliza tena "Alama gani?"
John akamjibu "Zile alama zilizoandikwa nenda pole pole shule iko karibu"

3. Msichana akamuuliza muhudumu wa Train "Hii ndiyo train yangu??

Muhudumu akamjibu yule dada "Hapana Train Hii ni mali ya shirika la Reli

Msichana akasema "Acha kunichekesha. Namaanisha kuwa naweza kuchukua train hii mpaka New Delhi??"
Muhudumu akamjibu "Hapana dada. Kwanza naogopa maana train hii ni nzito sana huwezi kuinyanyua hata second 1.

4. Mvurana alikuta Miss call kwenye simu yake. Akaenda shule kisha akamuuliza mwalimu wao wa kike aitwaye Miss. "Miss kwa nini jana umenitumia call??"

Mwalimu huyo akamjibu mtoto yule "Hapana mimi sijakutumia call?

Mtoto akajibu, "Ok, vizuri "mimi jana niliporudi nyumbani simu yangu ilisema nimepata Miss call"



This post first appeared on Mutalemwa, please read the originial post: here

Share the post

VICHEKESHO VINNE VYA SIKU YA LEO VIKO HAPA USIKOSE KUVISOMA

×

Subscribe to Mutalemwa

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×